#Local News

IDADI YA WAFANYAKAZI VYUONI KUPUNGUZWA

Mamia ya wafanyakazi katika vyuo vikuu vya umma nchini wanakabiliwa na hatari ya kuachwa bila ajira baada ya serikali kutangaza kwamba haina uwezo wa kufadhili elimu katika vyuo hivyo.

Waziri wa fedha John Mbadi ametangaza kwamba serikali imeweka mpango wa kuvinusuru vyuo hivyo, ikiwemo kufunga baadhi ya mabewa na kupunguza idadi ya wafanyakazi ili kudhibiti mzigo wa fedha.

Tangazo la serikali kwamba haina fedha linakuja wakati ambapo vingi vya vyuo vinakabiliwa na madeni na changamoto za kifedha.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IDADI YA WAFANYAKAZI VYUONI KUPUNGUZWA

MASOMO YA WANAFUNZI NJIA PANDA

IDADI YA WAFANYAKAZI VYUONI KUPUNGUZWA

IPOA: 65 WALIUAWA KWENYE MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *