#Local News

WALIMU 1,200 WA CHEKECHEA WAPATA AJIRA YA KUDUMU

Walimu 1200 wa shule za chekechea kaunti ya Pokot Magharibi wamepata ajira ya kudumu.

Katika hafla ya kuwapokeza walimu hao barua zao za ajira gavana Simon Kachapin anasema kuwa walimu wa shule za chekechea ni nguzo kuu katika elimu ya mtoto

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *