SAFARI YA MAAFISA 400 HAITI YANGOA NANGA
Kikosi cha Kenya kitakachoongoza ujumbe wa kimataifa kukabiliana na ghasia za magenge ya Haiti kimeondoka nchini usiku wa kuaamkia leo.
Rais William Ruto ameongoza hafla ya kuwaaga na kuwakabithi bendera maafisa hao katika chuo cha kitaifa cha polisi kilichoko katika eneo la embakasi jijini Nairobi.
Katika taarifa rais Ruto ameeleza imani yake kwamba maafisa hao wanauwezo wa kurejesha amani nchini Haiti.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































