TUTAUNDA CHAMA UPYA (UDA); HASSAN OMAR ASEMA

Katibu mkuu wa chama cha UDA hassan Omar anasema kuwa uongozi wa chama hicho una nia ya kurekebisha chama kufuatia mivutano iliyoshuhudiwa wakati wa kumtimua aliyekuwa katibu mkuu wa UDA Cleophus Malala.
Kwa mujibu wa Omar mipango ya kufanyisha uchaguzi wa mashinani katika maeneo ambako uchaguzi uliahirishwa ingali inaendelea ili kuhakikisha viongozi wapya wanachukua hatamu za uongozi kukiwa na nia ya kuungana na viama vingi.
Imetayarishwa na Janice Marete