#Local News

CHANJO KUSAMBAZWA KATIKA HOSIPITALI KOTE NCHINI

Serikali kupitia wizara ya afya imepokea dozi milioni nane za chanjo ilizoagiza na ambazo zitaanza kusambazwa katika vituo vyote vya afya kuanzia leo

Kwa mujibu wa Katibu katika wizara ya afya Harry Kachuwai Kimtai hospitali na vituo vyote vya afya vitapata chanjo zote ifikiapo jumatatu wiki ijayo

Kimtai aidha amedokeza imegarimu takribani shilingi bilioni 1.25 katika uagizaji na ununuzi wa chanjo hizo

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *