KUCO YALAUMU SERIKALI KUHUSU MGOMO WAO
Katibu mkuu wa chama cha maafisa wa kliniki KUCO George Gibore, amesema serikali haijakuwa tayari kumaliza mgomo wa maafisa hao na kwamba imekuwa ikipuuza matakwa yao.
Akizungumza mjini Kisii amesema licha yao kujitolea kushiriki mazungumzo ya kurejea kazini, magavana wamekuwa wamekuwa wakitoa vijisababu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































