#Local News

SI MIMI WALLAHI, ALAI

Mwakili wa wadi ya Kileleshwa Robert Alai, amejitenga na hoja ya kutaka kumbandua kutoka mamlakani gavana wa Nairobi Johnson Sakaja akisema hana ufahamu jinsi mswada huo ulivyoanzishwa.

Kupitia mtandao wa kijamii, Alai, amekana kuwa mwasisi wa mswada huo, ambao wawakilishi wadi 96 wa bunge la kaunti ya Nairobi wametangaza kuunga mkono.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SI MIMI WALLAHI, ALAI

KDF YABAINISHA WALIOUAWA LAMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *