#Local News

MATOKEO YA MGOMO SHULENI

Athari za mgomo wa walimu wa shule za upili ambao umeingia siku ya 8 sasa zimeanza kuonekana wazi wazi, baada ya baadhi ya shule kuwataka wanafunzi waondoke na kurejea nyumbani hadi suluhu litakapopatikana.

Baadhi ya shule hizo ni ile ya wasichana na wavulana ya Kenyatta katika kaunti ya Nakuru, ambapo wazazi wamefika shuleni humo mapema leo baada ya kuagizwa wafike kuwachukua wanao.

Haya yanajiri wakati ambapo walumu wameapa kuendelea kulemaza masomo katika shule za upili za umma.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MATOKEO YA MGOMO SHULENI

KUPPET YAENDELEA KULEMAZA MASOMO

MATOKEO YA MGOMO SHULENI

SERIKALI KUDHIBITI ZIARA ZA MAWAZIRI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *