MGOMO WA WAHADHIRI WAINGIA SIKU YA 2
Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma zinatarajiwa kusambaratika kwa siku ya 2 hii leo kufuatia mgomo wa wahadhiri licha ya serikali kutoka shilingi bilioni 2.5 kutatua malalamishi ya wahadhiri.
Wahadhiri kupitia kwa miungano yao ya UASU na KUSU, wameshikilia kuwa hawatarudi kazini hadi makubaliano yao yam waka 2021-2025 na serikali yatakapotekelezwa kikamilifu.
Walioathirika pakubwa ni wanafunzi wa mwaka wa kwanza, ambao walikuwa wameratibiwa kuanza masomo yao.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 


















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































