#Local News

MASOMO VYUONI YASAMBARATISHWA NA MGOMO

Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma kote nchini zimesambaratika kwa mara nyingine tena kufuatia mgomo wa wahadhiri wanaolalamikia madai ya kupuuzwa na serikali.

Kupitia kwa muungano wao wa UASU, wahadhiri wameitaka serikali kutekeleza mkataba wa maelewano waliotia Saini mwezi mmoja uliopita na wizara ya leba.

Mkataba huo ulitiwa Saini katika juhudi za serikali kumaliza mgomo uliokuwa umelemaza masomo vyuoni kwa takribani wiki mbili, na hadi sasa wahadhiri wanashikilia kuwa makubaliano hayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MASOMO VYUONI YASAMBARATISHWA NA MGOMO

RAIS MSTAAFU UHURU KENYATTA ASISITIZA HAJA YA

MASOMO VYUONI YASAMBARATISHWA NA MGOMO

GACHAGUA AENDELEA KUTETEA KIBARUA MAHAKAMANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *