MASOMO VYUONI YASAMBARATISHWA NA MGOMO

Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma kote nchini zimesambaratika kwa mara nyingine tena kufuatia mgomo wa wahadhiri wanaolalamikia madai ya kupuuzwa na serikali.
Kupitia kwa muungano wao wa UASU, wahadhiri wameitaka serikali kutekeleza mkataba wa maelewano waliotia Saini mwezi mmoja uliopita na wizara ya leba.
Mkataba huo ulitiwa Saini katika juhudi za serikali kumaliza mgomo uliokuwa umelemaza masomo vyuoni kwa takribani wiki mbili, na hadi sasa wahadhiri wanashikilia kuwa makubaliano hayo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa