KENNEDY ALIUAWA NA POLISI RONGAI WAKATI WA MAANDAMANO
Mwanapathologia wa serikali Peter Ndengwa aliyeufanyia mwili wa Kennedy Onyango upasuaji amebaini kuwa kennedy aliaga dunia kutokana na jeraha mbaya la risasi.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 12 ambaye alipoteza Maisha yake wakati wa maandamano siku ya alhamisi eneo la Rongai kaunti ya Kajiado alipigwa risasi wakati wa maandamano hayo alipokuwa akielekea kwa rafikiye kuomba kitabu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































