MVUTANO WA MFUMO WATISHIA HUDUMA
Mfumo mpya wa ununuzi wa e-Procurement umeendelea kutishia kusambaratika kwa huduma katika taasisi za umma kutokana na mvutano kati ya wabunge wa Waziri wa fedha John Mbadi, ambaye ameshikilia kuwa mfumo huo lazima utekelezwe.
Akiwa mbele ya kamati ya utekelezaji wa katiba katika bunge la kitaifa, Waziri Mbadi ameutetea mfumo huo anaosema utahakikisha uwazi katika ununuzi na utoaji tenda za serikali.
Hata hivyo, wabunge wamejiunga na magavana kuupinga, wakisema unakiuka sheria za ununuzi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































