WAHADHIRI WAAPA KUENDELEZA MGOMO
Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma nchini wataendelea kusalia nyumbani kwa muda usiojulikana kutokana na mgomo wa wahadhiri, ambao sasa wanasema wako tayari kuendelea na mgomo wao hata ikimaanisha hadi mwishoni mwa mwaka huu.
Wahadhiri kupitia miungano yao ya UASU, KUSU na KUDHEIA, wanasema watasubiri uamuzi wa mahakama ambao umeratibiwa kutolewa tarehe 11 mwezi Disemba.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































