#Local News

MCAS TAITA WASUTWA BAADA YA KUMBANDUA SPIKA

Wiki moja baada ya spika wa bunge la kaunti ya Taita Taveta Wisdom Kazungu kubanduliwa baada ya wawakilishi wadi kukosa imani katika utendakazi wake, baadhi ya wakazi, wanaharakati na viongozi kwenye kaunti hiyo wamekosoa hatua hiyo.

Wamedai kwamba wawakilishi hao walikuwa na njama ya kutetea maslahi yao na wala si ya wananchi.

Wakizungumza mjini Voi, wamesema kwamba misingi iliyotumiwa kumbandua spika huyo haina uzito wowote.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MCAS TAITA WASUTWA BAADA YA KUMBANDUA SPIKA

KMPDU YAGAWANYIKA?

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *