MZOZO WA ARDHI: WAKAZI MAKUENI WAHAMAISHWA
Serikali ya kaunti ya Makueni imetoa hamasisho kwa wakazi kuhusiana na sheria za urithi wa ardhi kama njia mojawapo ya kumaliza mizozo ya ardhi ambayo imekithiri kwenye kaunti hiyo.
Imebainika kuwa wengi wa wakazi hawana hatimiliki za mashamba wanamoishi kutokana na ukosefu wa ufahamu kuhusu utaratibu wa kupata stakabadhi hizo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































