WANAFUNZI WASIOJIWEZA WATAPEWA BASARI KAUNTI YA BUNGOMA
Wanafunzi katika kaunti ya Bungoma wanatarajiwa kunufaika na basari kufuatia fedha ambazo kaunti hiyo imetenga kwa ajili ya kutoamsaada wa basari kw a wanafunzi ambao wametoka katika familia zisizojiweza
kaunti ya Bungoma imetenga kima cha shilingi milioni 180 kufanikisha elimu ya Watoto wasiojiweza
afisa katika wizaara ya elimu Sam Nalwa amesema kuwa serikali ya kaunti imejitolea kuimarisha viwango vya elimu katika kaunti hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































