#Local News

OMTATA; WALIOFYATUA RISASI NA KUWAUA WAANDAMANAJI WAWAJIBISHWE

Mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu Okiya Omtata ameendelea kushinikiza uwajibikaji wa maafisa wa usalama waliohusika na vifo vwa watu zaidi ya 60 wakati wa maandamanao ya kupinga serikali.

Katika barua yake kwa mamlaka ya kutathmini utendakazi wa maafisa wa polisi Omtata anataka idara hiyo kuchunguza amaafisa wa polisi waliofyatua risasi zilizowaua watu na kuwaacha wengine na majeraha.

Imetayarishwa na Janice Marete

OMTATA; WALIOFYATUA RISASI NA KUWAUA WAANDAMANAJI WAWAJIBISHWE

TIMU ZAPATA UFADHILI

OMTATA; WALIOFYATUA RISASI NA KUWAUA WAANDAMANAJI WAWAJIBISHWE

MUGO SUPER CUP YATAMBA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *