OMTATA; WALIOFYATUA RISASI NA KUWAUA WAANDAMANAJI WAWAJIBISHWE
Mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu Okiya Omtata ameendelea kushinikiza uwajibikaji wa maafisa wa usalama waliohusika na vifo vwa watu zaidi ya 60 wakati wa maandamanao ya kupinga serikali.
Katika barua yake kwa mamlaka ya kutathmini utendakazi wa maafisa wa polisi Omtata anataka idara hiyo kuchunguza amaafisa wa polisi waliofyatua risasi zilizowaua watu na kuwaacha wengine na majeraha.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































