#Local News

SHULE ZOTE ZIFUNGWE MARA MOJA; WIZARA YA ELIMU YASEMA

Shule zote zifungwe kwanzia leo kwa likizo fupi, haya ni kwa mujibu wa wizara ya elimu ambayo imesema kuwa hatua hiyo imetokana na maandamano ambayo yamepangwa kufanyika hapo kesho na kundi la vijana Gen-Z kupinga mswada wa fedha 2024.

Imetayarishwa na Janice Marete.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *