MAHAKAMA YAMRUHUSU GACHAGUA KUONDOA BAADHI YA KESI ALIZOWASILISHA MAHAKAMANI
Ni afueni kwa aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua baada ya mahakama kumruhusu kuziondoa baadhi ya kesi alizokuwa amewakilisha mahakamani.
Gachagua kupitia kwa wakili mkuu wake Paul Mwite amewaambia majaji kwamba maswala mengine kama vile kuzuia kuapishwa kwa Kindiki kama naibu war ais yamepitwa na wakati.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 



































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































