#Local News

SUDI AONDOLEWA KESI YA KUGHUSHI

Mbunge wa Kapsaret Oscar Sudi amepata afueni baada ya mahakama hiyo ya ufisadi kumwondolea mashtaka ya kughushi stakabadhi za masomo.

Hakimu Felix Kombo amesema upande wa mashtaka umeshindwa kuwasilisha Ushahidi wa kuipa uzito kesi hiyo, akiongeza kuwa wameshindwa kuthibitisha madai ya kughushi dhidi ya Sudi.Aidha, ameulamu upande wa mashtaka kutokana na jinsi ulivyopata sehemu ya Ushahidi, akisema ni ya kutiliwa shaka

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SUDI AONDOLEWA KESI YA KUGHUSHI

MBUNGE KANGOMBE AKANUSHA MAUAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *