#Local News

RUTO KUZURU KISII, NYAMIRA

Rais William Ruto anaanza rasmi ziara yake ya siku 3 hii leo katika kaunti za Kisii na Nyamira ambako anatarajiwa kuzindua na kukagua miradi kadhaa ya maendeleo.

Ruto ameratibibiwa kuzuru maeneo bunge ya North Mugirango, Kitutu Masaba na Nyaribare Chache.

Hata hivyo, ziara yake inajiri huku wakazi wakiwa na matarajio ya kukamilishwa kwa miradi iliyokwama.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

RUTO KUZURU KISII, NYAMIRA

MKUTANO WA RAIS NA BARAZA JIPYA.

RUTO KUZURU KISII, NYAMIRA

JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILI MPOX

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *