HATUA KUBWA YA AFYA MAKUENI
Wakazi wa kaunti ya Makueni wamepata afueni ya kusaka matibabu yanayohusu upasuaji, baada ya madaktari katiika kaunti hiyo kufanikisha upasuaji wa kwanza wa ubongo katika hospitali ya rufaa ya Makueni.
Upasuaji huo ni hatua kubwa katika sekta ya afya, wakazi waliokuwa wakisaka huduma hizo katika hospitali za nje ya nchi wakitarajia kupunguza gharama za usafiri.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































