MUTURI ATOA SABABU ZA KUKOSA VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI
Huku tetesi zikiendelea kuibuka kuhusu hatua ya waziri wa utumishi wa umma Justin Muturi kuendelea kukosa kuhudhuria vikao vya baraza la mawaziri, waziri huyo amejitokeza na kusema kuwa alimwandikia waraka Rais William Ruto amruhusu asiwe akihudhuria vikao hivyo hadi suala la utekaji nyara na mauaji ya kiholela yatakapoorodheshwa kama miongoni mwa ajenda ya vikao hivyo.
Muturi ameyasema haya kwenye mahojiano na runinga moja jana usiku.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































