TATA KUONGOZA KIKOSI CHA KENYA CHA VOLIBOLI

Mchezaji Thamani Zaidi katika Kombe la Kenya Terry Tata anaongoza kikosi cha timu ya taifa ya voliboli ya Chini ya umri wa miaka 20 kitakachoshiriki katika Mashindano ya Ubingwa wa Afrika kwa Wanawake wa Chini ya Miaka 20 huko Yaoundé, Cameroon. Wachezaji wengine waliotajwa Jumatano ni Eddah Jepkemei, Milka Akinyi, Mary Nanjala, Daisy Chepkirui, Benta […]

XHAKA AJIUNGA NA SUNDERLAND

Kiungo wa kati wa Uswizi Granit Xhaka amejiunga na Sunderland kwa kandarasi ya miaka mitatu, na kurejea Premier League miaka miwili baada ya kuondoka Arsenal na kwenda Bayer Leverkusen. Xhaka, 32, alikaa Arsenal kwa miaka saba kabla ya kujiunga na Leverkusen, ambapo alishinda Bundesliga na kufika fainali ya Ligi ya Europa katika msimu wake wa […]

MUSINGU WAINGIA NUSU FAINALI

Mabingwa wa kitaifa Butere Girls, Madira Girls, wafalme wa kanda ya Magharibi Musingu Boys, na St. Joseph wa Bonde la Ufa Jobo wamefuzu katika nusu-fainali ya Michezo ya Shule za Upili za Kenya (KSSSA) baada ya kupata ushindi wao wa pili mfululizo katika mechi zilizofanyika Kaunti ya Kakamega. Butere Girls, iliyoungwa mkono na umati wa […]

MAADALIZI YA CHAN YAKAMILIKA

Waziri wa Michezo Salim Mvurya amehitimisha ziara yake ya mwisho ya ukaguzi kabla ya Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, akionyesha imani katika utayari wa Kenya kuandaa mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili. Mvurya alikagua uwanja Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) ambapo alikagua itifaki za kuwasili na vifaa […]

WAKENYA WALIOHUKUMIWA KIFO UGHAIBUNI KUREJESHWA, SERIKALI

Serikali imeimarisha juhudi za kuwarejesha nchini wakenya wasiopongua 1,000 wanaokabiliwa na hukumu ya kifo katika mataifa mbali mbali. Haya ni kwa mujibu wa mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi, akizungumza baada ya kukutana rasmi na Stephen Munyakho, aliyerejea nchini baada ya kuponea hukumu ya kunyongwa nchini Saudi Arabia. Mudavadi amekiri kuwepo kwa changamoto kuwarejesha nchini wakenya […]

MAHANGAIKO YA MAFURIKO TRANS NZOIA

Familia zisizopungua 100 zinaendelea kukadiria hasara huku zikililia msaada baada ya kuachwa bila makao katika kaunti ya Trans Nzoia kufuatia mto Sabwani kuvunja kingo zake kutokana na mvua kubwa. Familia hizo zimeachwa bila makao, huku mazao yao mashambani yakisombwa na mafuriko hayo mbali na shughuli za usafiri kutatizika. Serikali imewataka waathiriwa kuhamia maeneo salama. Imetayarishwa […]

MZOZO WA MIGINGO WAPATA MWAFAKA

Hatimaye mzozo wa miaka mingi kuhusu umiliki wa kisiwa cha Migingo kilichoko katika Ziwa Victoria umepata suluhu baada ya Rais William Ruto na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni kutia saini mkataba wa kumaliza mzozo huo. Kwenye mkataba uliotiwa saini na wawili hao katika Ikulu ya Nairobi, kisiwa hicho cha Migingo kitatumiwa na Kenya na Uganda, […]

Why Online Casinos Outshine Land‑Based Gaming: An Expert Guide with Nationalbet

Why Online Casinos Outshine Land‑Based Gaming: An Expert Guide with Nationalbet Online gambling has changed the way we play. The convenience, variety, and safety of an online casino can’t be matched by a traditional brick‑and‑mortar venue. If you’re looking for a fast way to compare the best sites, you don’t have to test each one […]

AMBANI ASHABIKIA BAJABER KUJIUNGA NA SIMBA SPORTS

Mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Kenya, Boniface Ambani amemuunga mkono Bejaber Mohammed kuitumikia klabu ya Simba Sports Club ya Tanzania. Bajarber ni mmoja wa wachezaji watatu walioondoka kambini kwa ajili ya malisho ya kijani kibichi, kufuatia kuondoka mapema kwa washambuliaji Emmanuel Osoro na Moses Shummah.Mshambulizi huyo wa zamani wa AFC Leopards alimuunga mkono kocha […]

KIBRA UNITED WAPANIAKUFANYA VYEMA MSIMU UJAO

Kikosi cha Kibra United kinalenga kumaliza katika nafasi nne za juu katika msimu ujao.Meneja wa timu hiyo, Abdul Aziz, alisema timu hiyo ilifanya vibaya msimu uliopita kutokana na kuondokewa na wachezaji muhimu katikati ya kampeni. Aziz aliongeza kuwa klabu hiyo yenye maskani yake jijini Nairobi sasa inatafuta wachezaji wapya, wakiwemo washambuliaji na viungo wa kati. […]