#Local News

“TUSHIRIKIANE KUMALIZA MAAMBUKIZI YA MARATHI” KATIBU WA AFYA MARY MUTHONI

Katibu wa idara ya afya ya umma Mary Muthoni amewataka wakenya kushirikiana na wahudumu wa afya wa kijamii ili kudhibiti maambukizi ya magonjwa mbali mbali kusambaa.

Akizungumza katika kaunti ya Kisumu Muthoni amesema wahudumu hao wa kijamii wamepokea mafunzo muhimu na vifaa vya kuwawezesha kutoa huduma za kiafya katika kutibu marathi mbali mbali katika jamii.

Muthoni amesema serikali nimewasajili wahudumu wa afya ya kijamii elfu 107 ambapo wanatakiwa kushughulikia familia 100 kila mmoja.

Imetayarishwa na Janice Marete

“TUSHIRIKIANE KUMALIZA MAAMBUKIZI YA MARATHI” KATIBU WA AFYA MARY MUTHONI

KINA MAMA TUJITEGEMEE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *