#Local News

KUPPET YAIKABA TSC

Muungano wa kutetea maslahi ya walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET umeitaka tume ya kuwaajiri walimu TSC kutatua changamoto wanazopitia walimu wa shule za sekondari msingi JSS, ukiwemo ukosefu wa vifaa muhimu.

Wakizungumza katika eneo la Gisambai kaunti ya Vihiga, viongozi wa KUPPET wakiongozwa na mwenyekiti Omboko Milemba na kaimu katibu mkuu Moses Nthurima, wamesema ukosefu wa vifaa hivyo umeathiri utendakazi waw alimu hao.

Wameahidi vile vile kuishinikiza serikali kuwapandisha vyeo walimu waliohitimu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KUPPET YAIKABA TSC

UTEUZI WA TUME

KUPPET YAIKABA TSC

WAZEE WA MITAA KUJUA HATMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *