STARLETS KWENDA KAMBI KWA WIKI TATU
Rais wa FKF Nick Mwendwa amesema Juniour Starlets watakuwa na kambi ya wiki tatu ya mazoezi ya huko mandera ya uhispania kabla ya kombe la dunia la wanawake walio na umri chini ya miaka 17
Mwendwa vile vile amedhibitisha kwamba Harrambee stars itacheza katika mashindano ya Kosafa huko port Elizabeth Africa Kusini mwezi huu baada ya kupata mwaliko kutoka kwa shirikisho la soka la afrika kusini
Imetayarishwa na Nelson Andati
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































