#Football #Sports

STARLETS KWENDA KAMBI KWA WIKI TATU

Rais wa FKF Nick Mwendwa amesema Juniour Starlets watakuwa na kambi ya wiki tatu ya mazoezi ya huko mandera ya uhispania kabla ya kombe la dunia la wanawake walio na umri chini ya miaka 17

Mwendwa vile vile amedhibitisha kwamba Harrambee stars itacheza katika mashindano ya Kosafa huko port Elizabeth Africa Kusini mwezi huu baada ya kupata mwaliko kutoka kwa shirikisho la soka la afrika kusini

Imetayarishwa na Nelson Andati

STARLETS KWENDA KAMBI KWA WIKI TATU

MBUNGE OMANYO AITISHA SODO

STARLETS KWENDA KAMBI KWA WIKI TATU

MBAPPE AJIUNGA NA REAL MADRID

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *