#Local News

ALIYEKUWA GAVANA WA BUSIA SOSPETER OJAAMONG APATA KAZI KATIKA UTEUZI WA HIVI PUNDE WA RUTO

Rais William Ruto amefanya uteuzi mpya kwa mashirika mbalimbali ya serikali.

Katika notisi ya gazeti la serikali ya Juni 14, Ruto alimteua Aliyekuwa Gavana wa Busia Sospeter Odeke Ojaamong kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la NEPAD/APRM Kenya.

Ruto pia amemteua Bernadette Ng’ang’a kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wahariri wa Kitabu cha Mwaka cha Kenya.

Ng’ang’a atakuwa mwenyekiti wa bodi hiyo kwa miaka mitatu kuanzia tarehe ya uteuzi.

Imetayarishwa na Janice Marete

ALIYEKUWA GAVANA WA BUSIA SOSPETER OJAAMONG APATA KAZI KATIKA UTEUZI WA HIVI PUNDE WA RUTO

USHURU WA MKATE WATUPILIWA MBALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *