#Local News #uncategorized

IDADI YA WALIOFARIKI SABA SABA YAFIKIA 38

Idadi ya watu waliofariki kutokana na vurugu za maandamano ya siku ya saba saba imefikia 38 na wengine 130 wakisalia na majeraha.

Haya ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na shirika la kutetea haki za kibnadamu linalosema waathiriwa walishambuliwa na wahuni na wengine kupigwa na maafisa wa polisi waliokuwa wametumwa kushika doria.

Watu 8 walifariki katika kaunti ya Kiambu,6 hapa Nairobi,6 kajiado,4 nakuru,3 kirinyaga na wengine watu 3 kaunti ya Muranga miongoni mwa wengine.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

IDADI YA WALIOFARIKI SABA SABA YAFIKIA 38

TAHADHARI YATOLEWA KUHUSU MPOX

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *