#Local News

‘TUTAPINGA MSWADA WA BAJETI’ AZIMIO YASEMA

Viongozi wa upinzani wameendelea kukashifu mswada wa fedha wa 2024-25 wakisema mapendekezo katika mswada huo yanaonyesha kwamba serikali haijali maslahi ya wakenya.


Wakiongozwa na mwakilishi wa kike kaunti ya kisii Doris Ndonya Aburi viongozi hao wameapa kuangusha msdwada huo wakishikiilia kwamba kodi ya mkate na bidhaa nyingine muhimu yatapandisha gharama ya Maisha.

Imetayarishwa na Janice Marete.

GACHAGUA ATENGWA SERIKALINI

RAIS WA IRAN EBRAHIM RAISI AFARIKI KATIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *