WAZIRI WA ELIMU ATAMIA KUBADILI MFUMO WA AJIRA KATIKA SHULE ZA UMMA
Wizara ya elimu ninawazia kubadili jinsi ya kuwaajiri maafisa waasifu katika shule za umma ili kukabili ufisadi na matumizi mabaya ya raslimali za umma.
Kwa mujibu wa Waziri wa elimu Ezekiel Machogu hali ya sasa ambapo wahasifu walioajiriwa na bodi za usimamizi wa shule wanatoa mwanya wa ufisadi na ubathirifu wa mali ya umma.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 

















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































