#Local News

TUKO SERIKALINI, ODM

Chama cha ODM kitaendeleza ushirikiano wake na serikali ya Kenya Kwanza hadi mwaka 2027 na kwamba hakuna mgawanyiko chamani kuhusu ushirikiano huo.

Haya yamebainika kwenye mkutano wa kwanza wa kamati kuu ya chama hicho tangu kifo cha aliyekuwa kinara wake Raila Odinga.

Kwenye taarifa iliyosomwa na katibu mkuu Edwin Sifuna, ODM imetangaza kufanya mkutano maalum wa kuadhimisha miaka 20 ya chama hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TUKO SERIKALINI, ODM

CHANGAMOTO ZA KPSEA, KJSEA 

TUKO SERIKALINI, ODM

VIJANA WEBUYE WAHIMIZWA KUCHUKUA KURA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *