#Football #Sports

MENEJA WA U17 ATAJA KIKOSI CHA MWISHO

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 William Muluhya ametaja kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 25 kitakachoiwakilisha Kenya katika mashindano ya AFCON ukanda wa CECAFA yatakayoandaliwa nchini Ethiopia baadaye mwezi huu.

Vijana hao wa Junior Stars wamewekwa kwenye Group A, Pamoja na wenyeji Ethiopia, South Sudan, Somalia na Rwanda, timu 2 zikiratibiwa kushiriki AFCON mwaka ujao.

Kikosi hicho kinachowajumuisha wachezaji kutoka shule mbali mbali na mchujo wa kambi za kitaifa, kitaondoka nchini hii leo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MENEJA WA U17 ATAJA KIKOSI CHA MWISHO

GOR WATAMBA MBELE YA SERIKALI

MENEJA WA U17 ATAJA KIKOSI CHA MWISHO

CITY WAWADHALILISHA WEKUNDU WA ANFIELD

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *