#Local News

MATOKEO YA KJSEA KUTOLEWA

Watahiniwa zaidi ya milioni 1.1 waliofanya mtihani wa kitaifa wa gredi ya 9 KJSEA watafahamu matokeo ya mtihani huo hii leo, ukiwa ni mtihani wa kwanza kabisa tangu kufutiliwa mbali kwa KCPE.

Tofauti na KCPE ilioibua ubabe wa shule, matokeo ya KJSEA yatamlenga mtahiniwa binafsi na wala si uorodheshaji wa shule au mashindano kati ya watahiniwa.

Watahiniwa watapokea matokeo yao kupitia tovuti ya baraza la mitihani ya kitaifa KNEC baada ya kuwekwa wazi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MATOKEO YA KJSEA KUTOLEWA

GACHAGUA: KURIA ANATUMIWA KUGAWANYA MLIMA

MATOKEO YA KJSEA KUTOLEWA

POLISI WALIOREJEA WATAJA UFANISI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *