#Local News

WAKENYA URUSI: OMTATAH KUISHTAKI SERIKALI

Seneta wa Busia Okiya Omtatah, ametangaza mpango wa kuwasilisha kesi mahakamani kuishtaki serikali kutokana na kinachoonekana kama kushindwa kuzuia mtandao wa ulaghai unaowasafirisha wakenya kupigana katika vita baina ya Ukraine na Urusi.

Tangazo hilo linajiri huku familia kadhaa nchini zikiachwa na majonzi baada ya kushindwa kuwarejesha nchini jamaa zao waliofariki wakipigana kwenye vita hivyo.

Omtatah ameitaka serikali kufafanua mpango wa Ajira Majuu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *