#Local News

UPINZANI WAMLIKA IEBC MBEERE NORTH

Muungano wa upinzani umeibua madai kwamba tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC inawasajili wapiga kura wapya katika eneo bunge la Mbeere North kinyume na sheria, ikizingatiwa kuwa eneo hilo linajiandaa kwa uchaguzi mdogo.

Kulingana na upinzani ukiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, hatua hiyo ya IEBC inalenga kuiba kura kwenye uchaguzi huo mdogo utakaondaliwa chini ya wiki 2 zijazo.

Hata hivyo, upinzani umeonyesha matumaini ya mgombeaji wao Newton Karish kuibuka na ushindi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI WAMLIKA IEBC MBEERE NORTH

KANJA AWAHIMIZA VIJANA KUJIUNGA NA POLISI

UPINZANI WAMLIKA IEBC MBEERE NORTH

KENYA KWANZA, DAP-K ZAVAANA MALAVA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *