#Local News

BUNGE LA SIAYA LAPITISHA MSWADA WA KUWALINDA WAJANE

Juhudi za kuimarisha haki za wajane katika kaunti ya Siaya zimepigwa jeki baada ya bunge la kaunti hiyo kupitisha kwa kauli moja mswada wa kuwalinda wajane dhidi ya kudhulumiwa ikiwemo kurithiwa kwa lazima na jamaa za mumewe.

Usajili wa wajane umeratibiwa kuanza baada ya gavana James Orengo kutia Saini mswada huo kuwa sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BUNGE LA SIAYA LAPITISHA MSWADA WA KUWALINDA WAJANE

KANJA AKATA RUFAA DHIDI YA UAMUZI WA

BUNGE LA SIAYA LAPITISHA MSWADA WA KUWALINDA WAJANE

KOCHA WA SHABANA FC AJIUNGA NA TIMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *