#Local News

OBURU ADAI ‘AJENDA 10’ ZIMETEKELEZWA

Kinara wa chama cha ODM Oburu Oginga amepuzilia mbali dhana kwamba ajenda 10 zilizoafikiwa baina ya chama hicho na UDA ikiwemo kuwapa fidia waathiriwa wa ukatili wa polisi hazijatekelezwa.

Kwa mujibu Oginga, ripoti kuhusu ajenda hizo inaashiria matokeo ya mkataba huo katika sekta ya ugatuzi, anayosema imetengewa fedha zaidi, huku akidai kwamba tayari bunge limetenga shilingi bilioni 2 kuwafidia waathiriwa.

Ameongeza kuwa fursa za ajira za umma zimeanza kuonyesha ujumuishi wa makabila yote.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

OBURU ADAI ‘AJENDA 10’ ZIMETEKELEZWA

AKIBA YA FEDHA ZA KENYA YAPANDA KWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *