#Local News

UPINZANI WADAI KUIBIWA CHAGUZI NDOGO

Viongozi wa upinzani nchini wameendelea kutofautiana na matokeo ya chaguzi ndogo zilizoandaliwa mwishoni mwa wiki jana, wakisema wagombeaji wao ndio walioshinda ila IEBC ikawatangaza wanaoegemea mrengo wa serikali.

Wakiongozwa na Kalonzo Musyoka wa Wiper na Martha Karua wa PLP, viongozi hao wameshikilia kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki, na kuwataka wakenya kuwa macho ili hilo lisirudiwe kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI WADAI KUIBIWA CHAGUZI NDOGO

RUTO NJIANI KUELEKEA MAREKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *