KENYA NA MALASYIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA
Rais William Ruto amesema kuwa nchi za Kenya na Malaysia zitaendela kushirikiana katika sekta mbalimbali kwa manufaa ya mataifa hayo mawili .
Akizungumza wakati wa kumkaribisha Waziri mkuu wa Malaysia nchini katika ikulu ya rais hapa Nairobi amesema kuwa mataifa hayo mawali yana diplomasia ya zaidi ya miaka 60 .
Huku akisisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano wa mataifa hayo akiongeza kuwa kenya ina uwezo kufikia mataifa yaliyostawi.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































