MAHAKAMA KUWAHESABU WAFANYAKAZI WAKE LEO
Idara ya mahakama imeratibu zoezi la kupata hesabu ya wafanyakazi wake hii katika juhudi za kuimarisha usimamizi na uadilifu katika deta zake.
Kupitia taarifa, jaji Mkuu Martha Koome amesema zoezi hilo linalenga kufanikisha mipango kuhusu wafanyakazi, kuimarisha uwajibikaji na kuhakikisha matumizi mwafaka ya raslimali katika mahakama zote nchini.
Ameeleza kwamba zoezi hilo linalenga kutambua na kuimarisha mikakati ya kuhakikisha uadilifu na uwajibikaji kwenye idara hiyo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































