#Local News

NTSA KUWAKAGUA MADEREVA

Ukaguzi upya wa madereva kubaini uwezo wao wa kuendesha magari ya uchukuzi ni miongoni mwa mikakati iliyoratibiwa katika juhudi za mamlaka ya usalama barabarani NTSA kudhibiti visa vya ajali.

Kulingana na mamlaka hiyo, watu elfu 21 wameathirika na ajali mwaka huu pekee, na kuwataka madereva kuwa waangalifu hasa msimu huu wa Krismasi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NTSA KUWAKAGUA MADEREVA

WAATHIRIWA CHESONGOCH WASALIA KAMBINI

NTSA KUWAKAGUA MADEREVA

KENYA KUJIOKOA KWENYE DEAFLYMPICS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *