WETANG’ULA ATETEA SHERIA YA KOMPYUTA
Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wametetea sheria mpya kuhusu matumizi mabaya ya kompyuta na uhalifu wa kimtandao ya mwaka 2025, wakisema sheria hiyo inalenga kulinda walichotaja kuwa ustawi wa jamii.
Viongozi hao walikuwa wakizungumza katika eneo bunge la Malava kaunti ya Kakamega wakiongozwa na spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, na kiongozi wa walio wengi bungeni Kimani Ichung’wa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































