#Local News

WETANG’ULA ATETEA SHERIA YA KOMPYUTA

Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wametetea sheria mpya kuhusu matumizi mabaya ya kompyuta na uhalifu wa kimtandao ya mwaka 2025, wakisema sheria hiyo inalenga kulinda walichotaja kuwa ustawi wa jamii.

Viongozi hao walikuwa wakizungumza katika eneo bunge la Malava kaunti ya Kakamega wakiongozwa na spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, na kiongozi wa walio wengi bungeni Kimani Ichung’wa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WETANG’ULA ATETEA SHERIA YA KOMPYUTA

MITIHANI YA KPSEA, KJSEA WAANZA

WETANG’ULA ATETEA SHERIA YA KOMPYUTA

HARAMBEE STARLETS WAIMARISHA MAANDALIZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *