#Local News

WAMUTHENDE: NITAWATUMIKIA WOTE

Mbunge mteule wa eneo bunge la Mbeere North Leo Wamuthende, ameahidi kuwaunganisha wakazi wote wa eneo hilo na kutekeleza miradi ya maendeleo bila kujali miegemeo ya kisiasa atakapoanza kutekeleza majukumu yake.

Akizungumza baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang’anyiro kilicholenga kupima ubabe wa kisiasa kati ya naibu rais Kithure Kindiki na mtangulizi wake Rigathi Gachagua, Wamuthende amewataka wakazi kuweka kando tofauti zao za kisiasa na kurejea kazini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAMUTHENDE: NITAWATUMIKIA WOTE

UDA, ODM ZADUMISHA VITI

WAMUTHENDE: NITAWATUMIKIA WOTE

SIMBA ATOLEWA MENO KUCHA BUNGOMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *