#Local News

RIPOTI: SHERYL ADHIAMBO ALIFARIKI KWA JERAHA LA RISASI

Uchunguzi wa maiti umebaini kuwa Sheryl Adhiambo, mwanafunzi wa miaka 21 wa Chuo cha Mafunzo ya Madaktari cha Kenya (KMTC), alifariki dunia kutokana na jeraha moja la risasi kichwani.

Uchunguzi huo, uliofanywa na wanapatholojia Grace Midigo na Simon Omuok, uligundua kuwa risasi iliingia upande wa kushoto wa kichwa chake na kutoka nyuma, na kusababisha kupasuka kwa cavity ya ubongo.

Madaktari hao wamesema kuwa jeraha hilo lilikuwa baya mno na hangeweza kunusurika, na hivyo kuonyesha kuwa kifo chake kilikuwa cha ghafla na cha hatari.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

RIPOTI: SHERYL ADHIAMBO ALIFARIKI KWA JERAHA LA RISASI

HSBC SEVENS YAPATA UFADHILI ZAIDI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *