#Local News

MAGENDO YA KAHAWA SIRISIA

Serikali inapoteza mamilioni ya pesa za ushuru kufuatia ongezeko la biashara za magendo ya kahawa kutokana na utepetevu wa maafisa wa upelelezi DCI katika eneo la Sirisia kaunti ya Bungoma ambao wamehishindwa kuwanasa wahusika.

Ni kauli ya mbunge wa eneo hilo John Waluke, akidai maafisa hao wanajihusisha kwenye magendo hayo na wafanyabiashara katika taifa jirani la Uganda.

Ameitaka tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC kuwachunguza na kuwachukulia hatua maafisa hao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *