#Local News

JIJI LA MIJENGO OVYO

Imeibuka kwamba asilimia 55 ya majengo jijini Nairobi si salama na yamo katika hatari ya kuporomoka iwapo patatokea mtetemeko wa ardhi wa kiwango chochote.

Haya ni kulingana na muungano wa watalaam wa mijengo, wakitaka hatua kali kuchukuliwa dhidi ya waliohusika kwenye ujenzi wa jengo lililoporomoka mtaani South C wakati wa ujenzi na kuwaua watu wawili.

Wamehusisha mkasa huo na ufisadi na ukiukaji wa sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JIJI LA MIJENGO OVYO

MATOKEO YA KCSE KUTANGAZWA LEO

JIJI LA MIJENGO OVYO

RUTO: UPINZANI UNACHEZA PATA POTEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *