#Local News

PVK YAKOSOA SERA TATA YA MAKANISA

Muungano wa Pentecostal Voice of Kenya PVK umeitaka serikali kusitisha mchakato wa kubuniwa kwa sera ya kudhibiti mashirika ya kidini, kufuatia kuondolewa kwa mswada wa kudhibiti mashirika hayo wa mwaka 2024.

Ikiongozwa na mwenyekiti wake Apostle Peter Manyuru ambaye pia ni kiongozi wa kanisa la JTM, PVK imehofia kwamba sera hiyo itayanyima makanisa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali uhuru wa kujieleza.

Amesisitiza kuwa serikali haikuyahusisha makanisa kwenye kubuniwa kwa sera hiyo.

Wamemtaka Rais William Ruto kutimiza ahadi yake ya kutetea uhuru wa makanisa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

PVK YAKOSOA SERA TATA YA MAKANISA

WATU 10 WAFARIKI KWENYE AJALI HOMA BAY

PVK YAKOSOA SERA TATA YA MAKANISA

MASWALI KUHUSU KIFO CHA JIRONGO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *