#Local News

DAP-K YATAKA MGOMBEAJI WA UDA MALAVA AZUIWE

Kinara wa chama cha DAP-K Eugene Wamalwa, ameitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumwondoa mgombeaji wa UDA eneo bunge la Malava David Ndakwa kwenye orodha ya wagombeaji, kwa madai kwamba Ndakwa amechochea vurugu dhidi ya mgombeaji wa DAP-K Seth Panyako.

Akizungumza mapema leo eneo hilo, Wamalwa amesema kuwa Panyako ameshambuliwa na wahuni usiku wa kuamkia leo kabla ya kufanikiwa kutoroka, akiwatuhumu maafisa wa polisi kwa kuhusika.

Wamalwa amelalamikia madai kwamba serikali inawahonga wapiga kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

DAP-K YATAKA MGOMBEAJI WA UDA MALAVA AZUIWE

MLINZI WA LIVONDO

DAP-K YATAKA MGOMBEAJI WA UDA MALAVA AZUIWE

BABAKE OJWANG’ ATAKA LAGAT AKAMATWE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *