GACHAGUA: KURIA ANATUMIWA KUGAWANYA MLIMA
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ameibua madai kwamba aliyekuwa mshauri wa Rais kuhusu masuala ya kiuchumi Moses Kuria anatumiwa na serikali ya Kenya Kwanza kugawanya kura za eneo la Mlima Kenya ukiwemo uchaguzi mdogo wa Mbeere North.
Akihojiwa na runinga moja nchini, Gachagua amesema lengo ni kuhakikisha kuwa eneo hilo halimpigii mgombea mmoja wa urais kura kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































